Changes

Jump to navigation Jump to search
Line 134: Line 134:  
'''ICANNWiki''' 
Ni jamii nambari moja yenye rasilmali ya maelezo – watu, vikundi, na mijadala yenye kuvutia ya ICANN na utawala wa mtandao (IG).
http://icannwiki.com
 
'''ICANNWiki''' 
Ni jamii nambari moja yenye rasilmali ya maelezo – watu, vikundi, na mijadala yenye kuvutia ya ICANN na utawala wa mtandao (IG).
http://icannwiki.com
   −
'''ICC (International Chamber of Commerce)''' 
Shirika la kushughulikia maswala ya biashara duniani lenye makao yake Paris, Ufaransa.
http://www.iccwbo.org/ 


+
'''ICC (International Chamber of Commerce)''' 
Shirika la kushughulikia maswala ya biashara duniani lenye makao yake Paris, Ufaransa.
http://www.iccwbo.org/
    
'''ICG (IANA Stewardship Transition Coordination Group)''' 
Kundi la kujadili na kuafikia mijadala inayohusu NTIA/ICANN/ na kipindi cha mpwito cha IANA (IANA Transition).
 
'''ICG (IANA Stewardship Transition Coordination Group)''' 
Kundi la kujadili na kuafikia mijadala inayohusu NTIA/ICANN/ na kipindi cha mpwito cha IANA (IANA Transition).
   −
'''ICT (Information and Communication Technology)''' 
Neno linaloelezea matumizi yote ya teknohama. Mbinu na matumizi yake ni muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi, kulingana na mtazamo wa ITU.
http://en.wikipedia.org/wiki/Information_and_communications_technology 


+
'''ICT (Information and Communication Technology)''' 
Neno linaloelezea matumizi yote ya teknohama. Mbinu na matumizi yake ni muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi, kulingana na mtazamo wa ITU.
http://en.wikipedia.org/wiki/Information_and_communications_technology
    
'''ICTA (ICT Authority)''' 
Ni tume ya serikali ya Kenya iliyoundwa chini ya idara ya habari, mawasiliano na teknohama ili kusimamia shughuli zinazoambatana na sekta hii.
 
'''ICTA (ICT Authority)''' 
Ni tume ya serikali ya Kenya iliyoundwa chini ya idara ya habari, mawasiliano na teknohama ili kusimamia shughuli zinazoambatana na sekta hii.
Line 162: Line 162:  

'''IGO (Inter-governmental Organisation)''' 
Shirika lililoundwa kutokana na mkataba baina ya mataifa mawili au zaidi, ili kushirikiana kwenye azma na malenga ya pamoja, haswa amani na usalama.

iHub (Innovation Hub)
iHub ni kitovu cha ubunifu kilichopo jijini Nairobi kwa ajili ya jamii ya teknohama, na uga wa wazi wa wanateknohama, wawekezaji, kampuni za teknohama, na wadukuzi.
 

'''IGO (Inter-governmental Organisation)''' 
Shirika lililoundwa kutokana na mkataba baina ya mataifa mawili au zaidi, ili kushirikiana kwenye azma na malenga ya pamoja, haswa amani na usalama.

iHub (Innovation Hub)
iHub ni kitovu cha ubunifu kilichopo jijini Nairobi kwa ajili ya jamii ya teknohama, na uga wa wazi wa wanateknohama, wawekezaji, kampuni za teknohama, na wadukuzi.
   −
'''INTERNET (Interconnected Networks)''' 
Mkusanyiko wa mitandao inayounga tarakilishi na wanaotumia mtandao duniani.
+
'''INTERNET (Interconnected Networks)''' 
Mkusanyiko wa mitandao inayounga tarakilishi na wanaotumia mtandao duniani.
+
 
 
'''INTERPOL (International Criminal Police Organisation)''' 
Ni shirika la kimataifa linaloendesha ushirikiano baina ya idara za polisi za mataifa wanachama.
Lina mataifa wanachama 190 na makao yake makuu ni Lyon, Ufaransa.
Rais wa shirika hili ni Mireille Ballestrazzi, na katibu mkuu wake akiwa Jurgen Stock.
 
'''INTERPOL (International Criminal Police Organisation)''' 
Ni shirika la kimataifa linaloendesha ushirikiano baina ya idara za polisi za mataifa wanachama.
Lina mataifa wanachama 190 na makao yake makuu ni Lyon, Ufaransa.
Rais wa shirika hili ni Mireille Ballestrazzi, na katibu mkuu wake akiwa Jurgen Stock.
   Line 191: Line 191:  
'''IXP (Internet Exchange Point)''' 
Ni muundo mbinu ambao unaruhusu kubadilishana kwa mawasiliano baina ya mitandao tofauti, haswa kupitia maelewano
 
'''IXP (Internet Exchange Point)''' 
Ni muundo mbinu ambao unaruhusu kubadilishana kwa mawasiliano baina ya mitandao tofauti, haswa kupitia maelewano
    +
== '''K''' ==
 +
'''KB (Kilobyte)''' 
Kipimo cha uwezo wa data. KB 1 ni sawa na bytes 1024. Vile vile, MB inasimamia Megabyte na inaashiria kilobytes elfu (sawa na bytes milioni); GB inasimamia Gigabyte na inaashiria maelefu ya Megabytes (bytes bilioni)
 +
 +
'''Kbps (Kilobits per second)''' 
Kipimo cha mwendo wa uhamisho wa data.


 +
 +
'''.KE (dot KE)''' 
.ke ni utambulisho wa nchi ya Kenya (ccTLD)kwenye mtandao.
.ke ilikabidhiwa kwenye Root Zone mnamo Aprili 1993. 
Daktari Shem Ochuodho (usimamizi) na Randy Bush (ufundi) walikuwa wahudumu wa kujitolea kusimamia maswala ya .ke.
Karibia mwaka wa 2000, jamii ya washika dau, wa umma na kibinafsi, waliafikiana na kuunda shirika lisilokuwa ka kifaida kwa ajili ya kusimamia maswala ya .ke.
.ke inajivunia takribani sajili 60,000 hadi sasa, na imeiga mfumo wa usajili {registry/registrar). Usajili mwingi unatekelezwa na kampuni zilizopo nchini Kenya.

KENIC (Kenya Network Information Centre)
Shirika lisilo ka kifaida ambalo linasimamia shughuli za .ke.
www.kenic.or.ke
   −
K
+



'''KESIG (Kenya School of Internet Governance)''' 
Ni mradi unaolenga kuwahudumia waandaaji na wazungumzaji wa makongamano ya utawala wa mtandao (IG) kimataifa, kimaeneo, kitaifa nchini Kenya kupitia kozi za hali ya juu zinazoshughulikia mijadala ya utawala wa mtandao.
KB (Kilobyte)
Kipimo cha uwezo wa data. KB 1 ni sawa na bytes 1024. Vile vile, MB inasimamia Megabyte na inaashiria kilobytes elfu (sawa na bytes milioni); GB inasimamia Gigabyte na inaashiria maelefu ya Megabytes (bytes bilioni)
  −
Kbps (Kilobits per second)
Kipimo cha mwendo wa uhamisho wa data.

.KE (dot KE)
.ke ni utambulisho wa nchi ya Kenya (ccTLD)kwenye mtandao.
.ke ilikabidhiwa kwenye Root Zone mnamo Aprili 1993. 
Daktari Shem Ochuodho (usimamizi) na Randy Bush (ufundi) walikuwa wahudumu wa kujitolea kusimamia maswala ya .ke.
Karibia mwaka wa 2000, jamii ya washika dau, wa umma na kibinafsi, waliafikiana na kuunda shirika lisilokuwa ka kifaida kwa ajili ya kusimamia maswala ya .ke.
.ke inajivunia takribani sajili 60,000 hadi sasa, na imeiga mfumo wa usajili {registry/registrar). Usajili mwingi unatekelezwa na kampuni zilizopo nchini Kenya.

KENIC (Kenya Network Information Centre)
Shirika lisilo ka kifaida ambalo linasimamia shughuli za .ke.
www.kenic.or.ke 


KESIG (Kenya School of Internet Governance)
Ni mradi unaolenga kuwahudumia waandaaji na wazungumzaji wa makongamano ya utawala wa mtandao (IG) kimataifa, kimaeneo, kitaifa nchini Kenya kupitia kozi za hali ya juu zinazoshughulikia mijadala ya utawala wa mtandao.
   
Shule hii ilizinduliwa rasmi Julai 2016 kwa ufadhili wa HIVOS.


 
Shule hii ilizinduliwa rasmi Julai 2016 kwa ufadhili wa HIVOS.


KICTANET (The Kenya ICT Action Network)

Ni uga wa washika dau, watu, mashirika yenye uvutio wa kujihusisha na sera za teknohama, na udhibiti. Mtandao huu unalenga kusisimua mabadiliko kwenye sekta ya teknohama, kwenye juhudi za kuunga mkono lengo la taifa la teknohama la kuwezesha ukuzaji na maendeleo.
http:// www.kictanet.or.ke
     −
KIGF (Kenya Internet Governance Forum)
Ni kongamano la washika dau mbali mbali linaloandaliwa kila mwaka nchini Kenya, na linalenga kuwakutanisha wadau kujadili maswala yanayohusu sera zenye umuhimu kwa mtandao kama inavyobainiwa kwenye mlango wa 72 wa ajenda ya WSIS (Tunis).
http://www.kenyaigf.or.ke

+
'''KICTANET (The Kenya ICT Action Network)''' 

Ni uga wa washika dau, watu, mashirika yenye uvutio wa kujihusisha na sera za teknohama, na udhibiti. Mtandao huu unalenga kusisimua mabadiliko kwenye sekta ya teknohama, kwenye juhudi za kuunga mkono lengo la taifa la teknohama la kuwezesha ukuzaji na maendeleo.
http:// www.kictanet.or.ke
KIXP (Kenya Internet Exchange Point)
Ni kituo kinachoruhusu ubadilishana wa mawasiliano baina ya mitandao tofauti nchini Kenya bila ya kuyaelekeza kwenye mitandao mingine ya kimataifa.

+
 
 +
'''KIGF (Kenya Internet Governance Forum)''' 
Ni kongamano la washika dau mbali mbali linaloandaliwa kila mwaka nchini Kenya, na linalenga kuwakutanisha wadau kujadili maswala yanayohusu sera zenye umuhimu kwa mtandao kama inavyobainiwa kwenye mlango wa 72 wa ajenda ya WSIS (Tunis).
[http://www.kenyaigf.or.ke
 http://www.kenyaigf.or.ke]
 +
 
 +
'''KIXP (Kenya Internet Exchange Point)''' 
Ni kituo kinachoruhusu ubadilishana wa mawasiliano baina ya mitandao tofauti nchini Kenya bila ya kuyaelekeza kwenye mitandao mingine ya kimataifa.
 +
 
 +
 
L
 
L
 
LACNIC (Latin America and Caribbean Network Information Centre)
Ni shirika linalosimamia ugavi wa rasilmali muhimu za mtandao eneo la Marekani ya kusini, na sehemu za karibea.
http://www.lacnic.net/web/portal/inicio  
 
LACNIC (Latin America and Caribbean Network Information Centre)
Ni shirika linalosimamia ugavi wa rasilmali muhimu za mtandao eneo la Marekani ya kusini, na sehemu za karibea.
http://www.lacnic.net/web/portal/inicio  

Navigation menu